Wednesday, 28 July 2021

Police in Isiolo County have seized more than 850 thousand shillings worth of cannabis from Marsabit to Nairobi.


 

Isiolo police commander Joseph Kigen Confirming the arrest of the vehicle revealed that it was a sniffing police dog at the Archer post security checkpoint. They were able to alert the police who searched the car and found it hidden under the seats of a car transporting five students. .

Kigen also added that they had arrested a 21-year-old man who was the driver of the car that was transporting the cannabis in bundles of 19 1 kilos each and suggested he would be brought to court to answer charges.

Photo:Courtesy

He called on young people to stop engaging in drug trafficking and drug abuse.

Commander Kigen has now called on security officers to be more vigilant and increase traffic inspections while warning drug traffickers that their days are numbered after being arrested several times for what he called a new police arrests while traffickers are also using different tactics to smuggle bangs. as well as the use of motorcycles passing through shortcuts.

He advised them to stop speculating and engage in business that would benefit them and bring development to the nation.

The police commander is also concerned that as we approach the political season, speculation may increase but he has called for the cooperation of all stakeholders to address the issue.

He urged residents to ensure that they report prompt reports to the police so that the suspects can be arrested immediately and strict legal action taken.


-By Edwine OCHALY-

Friday, 16 July 2021

Rais Uhuru Kenyatta amekutana na viongozi wa Kaunti ya Marsabit juu ya Usalama wa eneo hilo

 

PHOTO:COURTESY

Rais Uhuru Kenyatta ametoa makataa ya siku 5 kwa viongozi wa kaunti ya Marsabit kuhakikisha kwamba wanapata suluhu ya kudumu kwa machafuko na vita vya kikabila ambavyo vimekuwa vikishuhudiwa katika kaunti hiyo la sivyo hatua kali zichukuliwe.

 Kwenye mkutano uliandaliwa katika ikulu ya rais Jijini Nairobi, gavana wa kaunti ya marsabit Mohamud Ali alitwikwa jukumu la kuwaleta pamoja viongozi wenzake jimboni humo ili kuhakikisha kuwa wanapata suluhu ya shida hiyo katika muda huo mfupi.

 Kiongozi wa taifa aliyeghadhabishwa na machafuko ya mara kwa mara marsabit alitoa fursa ya mwisho kwa viongozi hao kuhakikisha kwamba wanapata suluhu ya changamoto hizo la sivyo mwenyewe atachukua hatua kali.

 Hata hivyo katika ujumbe wake kwa viongozi hao, rais Uhuru Kenyatta aliwataka kutambua mbinu za kutatua shida hiyo kabla ya hatua hiyo kuchukuliwa, na kuwataka wasilaumu serikali iwapo hatua hiyo itaafikiwa.

 Mkutano huo ulihudhuriwa na wabunge wa kaunti hiyo ya marsabit, viongozi wa kidini, uongozi wa bunge la kaunti ya Marsabit na maafisa wa usalama.

 Waziri wa masuala ya ndani Daktari Fred Matiangi, kamishna wa ukanda wa mashariki mwa Kenya, Isiah Nakoru, na kamishana wa kaunti ya marsabit Paul Rotich ni miongoni tu mwa maafisa wa usalama waliohudhuria mkutano huo.

 Baadhi ya viongozi waliohudhuria mkutano huo ni pamoja na gavana Mohamud Ali, wabunge Dido Ali Rasso wa Saku, Francis Chachu Ganya wa North Horr, Musa Arbelle wa Laisamis na Qalicha Gufu wa Moyale, seneta Naomi Jillo Waqo , mwakilishi wa kike Safia sheikh Adan na spika wa bunge la kaunti ya Marsabit, Mathew Loltome na kiongozi wa wengi katika bunge hilo, Alkano Konso.

 Hata hivyo waziri wa fedha, Ukur Yatani hakuhudhuria mkutano huo kwani aliarifiwa kuwa nje ya nchi kwa shughuli rasmi za kikazi.

 Viongozi wa dini waliohudhuria ni pamoja na Askofu wa kanisa katholiki jimbo la Marsabit, Peter Kihara, Sheikh Mohammed Noor Kuli, miongoni tu mwa viongozi wengine.

 Wakati hayo yakijiri, mbunge wa Laisamis Musa Arbelle amehoji kuwa wao kama viongozi hawana budi ila kuafikia makataa ya siku tano waliopewa na rais Uhuru Kenyatta kutafuta suluhu ya shida inayokumba gatuzi hili.

 Arbelle amesema kwamba kiongozi wa taifa alitaka kujua changamoto inayopelekea vita vya mara kwa mara jimboni na kuonya kwamba iwapo viongozi watafeli kuleta suluhu ya shida zinazokumba kaunti hiyo hatua kali zitachukuliwa.

Kutokana na mkataa ya siku tano, viongozi wa kaunti hiyo wameafikiana kufanya kikao na kuanza majadiliano ya kutafuta suluhu ya shida ya kaunti hiyo  kuanzia Jumatatu wiki ijayo katika taasisi ya Kenya school of government, jijini Nairobi.

 Kulingana na mbunge huyo, waziri wa masuala ya ndani, Fred Matiangi amehoji kwamba sasa rais Uhuru Kenyatta ndiye amechukua jukumu la kuhakikisha kwamba shida hiyo inasuluhishwa.

 Viongozi hao pia wametakiwa kutolaumiana na badala yake kuketi pamoja na kutafuta suluhu ya shida ya Marsabit huku Wakaazi wa kaunti hiyo pia wakitakiwa kujihusisha katika juhudi za kuleta amani ya kudumu.

 

Tuesday, 13 July 2021

ununuzi wa vipakatalishi kugharimu mlipa ushuru Sh105 milioni

 

KAMATI ya Bunge kuhusu Utangazaji na Maktaba sasa inapendekeza kuwa wabunge wote 349 wanunuliwe vipakatalishi za matumizi katika mikutano yao kupitia mitandaoni.

Kamati hiyo inapendekeza kwamba wabunge wanunuliwa aina ya kisasa ya laputopu kwa jina Apple MacBook Pro, ambayo inaweza kugharimu hadi Sh105,000 kila moja.

Hii ina maana kuwa ikiwa mapendekezo hayo yataidhinishwa na wabunge, ununuzi wa mitambo hiyo utamgharimu mlipa ushuru Sh105 milioni ikizingatiwa kamati hiyo inapendekeza Spika wa Bunge la Kitaifa Justin Muturi pia anunuliwe kipakatalishi cha aina hiyo.

Photo:Courtesy
Huenda mlipa ushuru akagharimika zaidi ikiwa maseneta 68 pia watapendekeza wanunuliwe vipakatalishi kwa gharama ya mlipa ushuru.

Ripoti hiyo ya kamati ya Utangazaji iliyowasilishwa bungeni wiki jana, ilisema kuwa wabunge wanapendelea kutumia vipakatalishi katika mikutano yao ya mtandaoni badala ya iPad.